CASE + CASE COMING SOON



Continue Reading

Kiko hapa kilichoamriwa na na Mahakama ya Kwale kwa watuhumiwa waliotaka Mombasa ijitenge na Kenya


An inmate rests his hand on the bars of a prison controlled by the SLA/Mini Minawi in Shangle Tubaya villageKiongozi wa kundi la vuguvugu la Mombasa Republic Council (MRC), Omar Mwamnuadzi ameachiwa kwa dhamana ya shilingi laki 8 za Kenya baada ya kukaa jela kwa zaidi ya miezi miwili na wenzake kumi na mmoja.
Watuhumiwa hao wameachiwa huru na Mahakama ya Kwale baada ya kukaa jela kwa zaidi ya wiki mbili kwa kosa la kufanya mkutano kinyume cha sheria.
Mwamnuadzi na wenzake walikamatwa oktoba15 huko Komabi ambapo walifunguliwa mashtaka kwa kosa la kufanya mkutano kinyume cha sheria ambapo washtakiwa walipinga kutenda kosa hilo.
Baada ya kusomewa mashtaka katika mahakama ya Kwale, washtakiwa walipelekwa gereza la shimo la Tewa, Novemba 3.
Kesi hiyo itasomwa tena Januari 12 mwaka 2015.
MRC
Continue Reading

Kilichoamriwa na AU baada ya Jeshi kushindwa kuongoza nchi


Burkina Faso IIUmoja wa Nchi za Afrika (AU) umetoa wiki mbili kwa jeshi kuachia madaraka baada ya kubainika kuwa jeshi halikufuata kanuni za katika kumtoa rais aliyekuwepo madarakani.
Jeshi la Burkina Faso lilishika nafasi ya kuongoza nchi baada ya rais aliyekuwepo madarakani kujiuzuru siku nne zilizopita baada ya kutokea machafuko makubwa.
Mkuu wa jeshi la nchio hiyo, Luteni Kanali Isaac Zida amesema wanafanya mkakati wa kuhakikisha inapatikana Serikali ya mpito kwa haraka kutokana na wananchi kuigomea Serikali ya kijeshi iliyopo madarakani.
Burkina Faso Pres.
Luteni Kanali Isaac Zida akisalimiana na wawakilishi wa AU.
Continue Reading

Magazeti leo Nov 4, 2014


.
.
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo 
pia
 kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Continue Reading

Wakati CHIDI BEENZ Anaendelea Kuwa Chini Ya Police, Soma Ujumbe Alioandikiwa Na Msanii Mwenzake RAY C


Pole kaka yangu Chidi Benz,Naumia kuona tatizo uliokuwa nalo bado haujalitaftia jibu unalijua la kutatua tatizo lako,Mimi ni dada yako na tumeshafanya kazi Pamoja,Tatizo ulilonalo na Mimi nilishakuwa nalo na niliweza kulitatua sababu nilijitambua na kutafuta suluhu,nimejaribu kila njia kukushauri badala yake ukaja na rungu la kimasai na kunitandika nalo nyumbani kwangu!nadhani janga hili lililokukuta litakuwa Kama jibu kwako kwamba unakoenda si salama kabisa kaka yangu ni bora ubadilishe njia ili uweze kuungana nasi kwenye tiba ya Methadone kwani ndio Kiboko ya madawa ya kulevya!!!!Kama Mimi mwanamke nimeweza najua Hata wewe utaweza!!!!Tanzania bila madawa ya kulevya Inawezekana !!Watanzania tusimyanyapae Msanii wetu kwani Uteja ni ugonjwa Kama ugonjwa mwingine na Unazuilika na Kutibika,Ana kipaji na Ana uwezo wa kurudi tena kwenye Sanaa,Tumuombee mema.........Tanzania Stand Up n Wish Him Luck............With Love,Ray C Foundation.
Continue Reading

UMRI SAHIHI WA MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU





Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu akionyesha cheti chake cha kuazaliwa kilichowakilishwa kwenye mashindano ya Miss Tanzania 2014 kama kielelezo chake cha umri aliokua nao kinachoonyesha tarehe yake ya kuzaliwa kuwa ni 31 Mei 1991 wakati pasi yake ya kusafiria ianonyesha tarehe 31 Mei 1989 tarehe ambayo inaenda sambamba na leseni yake ya uendeshaji aliyokua akiitumia mji wa Dallas jimbo la Texas nchini Marekani ikiwemo fomu ya uhamijai aliyokua akijaza wakati akiingia nchini Marekani. Kwa kuangalia vigezo vyote hivyo utakubaliana na mimi Miss Tanzania wetu kadanganya umri.
Pasi ya kusafiria ya Sitti Mtemvu

Leseni ya uendeshaji jimbo la Texas nchini Marekani

Fomu ya Uhamiaji
Continue Reading

YUNEDA COMPANY LIMITED



Continue Reading

KOPA KWA MALENGO NA YUNEDA



Continue Reading

KESI NDANI YA KESI COMING SOON



Continue Reading

VIWANJA VINAUZWA



Continue Reading